ZA UKWELI SANA

WEMA SEPETU ADAIWA KUWA MJAMZITO

aliyekuwa mshindi wa shindano la miss Tanzania mwaka 2006 na pia muigizaji wa kike maarufu na anayependwa sana bongo,madam wema sepetu anadaiwa kuwa mjamzito licha ya kusemekana kwamba ni mgumba hana uwezo wa kupata mtoto,kwa mujibu wa jamaa anayesemekana kuwa anatoka naye kwa sasa mshindi wa big brother 2015 idriss sultan ambaye ameonekana kuwa naye karibu kwa hivi sasa.

Idriss amepost picha yake na madam sepetu kupitia mtandao wake wa instagram huku akieleza hisia zake za kimapenzi kwa msanii huyo,huku hakusita kubainisha suala hilo la ujauzito wake.

0 Response to "WEMA SEPETU ADAIWA KUWA MJAMZITO"

Chapisha Maoni