ZA UKWELI SANA

UZURI WA MWANAMKE NI SURA NA TABIA PIA!

kuna maneno mengi ya mitaani kuhusu kitu gani cha kutazama wakati wa kumtafuta mwanamke wengine husema mwanamke ni tabia,wengine husema ni uzuri na wengine husema vyote vinahusika mimi kama mwandishi nasema mwanamke lazima awe na uzuri wa kiasi cha kumridhisha mwenzi wake na tabia njema pia ni muhimu,ifahamike kwamba kila mtu ana kipimo chake cha uzuri kwa ampendae mzuri kwako anaweza kuwa mbaya kwa mwengine kwa hiyo hilo linategemea na mtu mwenyewe,.....ila vyote ni muhimu je wewe msomaji nini maoni yako?tuandikie hapo chini maoni yako

0 Response to "UZURI WA MWANAMKE NI SURA NA TABIA PIA!"

Chapisha Maoni