ZA UKWELI SANA

MZEE YUSSUFU WA JAHAZI ALIA NA WAKEZE





mwanamuziki wa miondoko ya taarabu nchini,mzee yussufu ameeleza masikitiko yake kwa wake zake wawili ambao amedai hawaivi chungu kimoja,mzee yusufu ameeleza hayo kupitia kipindi cha amplifaya cha clouds fm jana jumatano"hawapatani kabisa nimejaribu kuwasuluhisha lakini imeshindikana,kuna kipindi nijaribu kuwasuluhisha nikawakutanisha kwa pamoja bila wao kujuwa lakini walishindwa hata kusalimiana,natamani waishi kama ndugu lakini imekuwa ngumu,nawaombea sana kwa mungu'alisema mze,wa kwanza nimeishi naye kwa miaka 12,na mwengine kwa miaka 9

0 Response to "MZEE YUSSUFU WA JAHAZI ALIA NA WAKEZE"

Chapisha Maoni