mwanamuziki wa miondoko ya taarabu nchini,mzee yussufu ameeleza masikitiko yake kwa wake zake wawili ambao amedai hawaivi chungu kimoja,mzee yusufu ameeleza hayo kupitia kipindi cha amplifaya cha clouds fm jana jumatano"hawapatani kabisa nimejaribu kuwasuluhisha lakini imeshindikana,kuna kipindi nijaribu kuwasuluhisha nikawakutanisha kwa pamoja bila wao kujuwa lakini walishindwa hata kusalimiana,natamani waishi kama ndugu lakini imekuwa ngumu,nawaombea sana kwa mungu'alisema mze,wa kwanza nimeishi naye kwa miaka 12,na mwengine kwa miaka 9
MZEE YUSSUFU WA JAHAZI ALIA NA WAKEZE
mwanamuziki wa miondoko ya taarabu nchini,mzee yussufu ameeleza masikitiko yake kwa wake zake wawili ambao amedai hawaivi chungu kimoja,mzee yusufu ameeleza hayo kupitia kipindi cha amplifaya cha clouds fm jana jumatano"hawapatani kabisa nimejaribu kuwasuluhisha lakini imeshindikana,kuna kipindi nijaribu kuwasuluhisha nikawakutanisha kwa pamoja bila wao kujuwa lakini walishindwa hata kusalimiana,natamani waishi kama ndugu lakini imekuwa ngumu,nawaombea sana kwa mungu'alisema mze,wa kwanza nimeishi naye kwa miaka 12,na mwengine kwa miaka 9
Posted by Unknown
on Alhamisi, 28 Januari 2016,
Add Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 Response to "MZEE YUSSUFU WA JAHAZI ALIA NA WAKEZE"
Chapisha Maoni