ZA UKWELI SANA

WATANZANI TUMWACHE RAISI MAGUFULI AFANYE KAZI YAKE

wabongo tuache tabia ya kulalamika na tumwache mheshimiwa raisi afanye kazi yake tuwache kulalamika,katika awamu iliyopita watanzania wengi walionekana kukerwa na hali ya nchi jinsi ilivyokuwa utendaji mbovu wa wawakilishi wa wananchi na pia,suala zima la ufisadi na wengi walitoa mapendekezo ya aina ya kiongozi waliokuwa wanamtaka,wengi walidai mafisadi hawashughulikiwi na raisi aliyepita hakuwa mkali,mungu si athumani amepatikana ndugu magufuli na ameanza kuonyesha kutenda kazi yake lakini baadhi ya wananchi wameanza kulalamikia speed yake,jamani naombeni tumwache mheshimiwa afanye kazi yake tuwache kulalamika mheshimiwa ni mtu sahihi kabisa tumpe nafasi na muda wa kutenda kazi yake zama za rushwa,ufisadi na kujuana zimepita HAPA KAZI TU.
     MAONI YA MHARIRI. .

0 Response to "WATANZANI TUMWACHE RAISI MAGUFULI AFANYE KAZI YAKE"

Chapisha Maoni