Mara ngapi umejiuliza umuhimu wa hayo mawazo hasi yanayokusumbua,kama uwoga wa kufanya jambo,kukata tamaa na kuwa na imani ya kushindwa ...
Home » Uncategories » MWANAMKE MMOJA AKUTWA KWENYE PAA LA JENGO LA WIZARA YA FEDHA
MWANAMKE MMOJA AKUTWA KWENYE PAA LA JENGO LA WIZARA YA FEDHA
Katika hali isiyo kuwa ya kawaida mwanamke mmoja ambaye jina lake halikuweza kufahamika kwa haraka,ameonekana kupanda juu la paa la wizara ya fedha,vyanzo vyetu vilipotaka kujuwa kulikoni vilishindwa kupata maelezo ya mama huyo vizuri kutokana na watu waliokuwa wakimzonga zonga mama huyo.
0 Response to "MWANAMKE MMOJA AKUTWA KWENYE PAA LA JENGO LA WIZARA YA FEDHA"
Chapisha Maoni