UTAJIRI WA PSQUARE NI KUFURU
wanamuziki mapacha wanaijeria peter na paulo okoye,leo kupitia mtandao wao wa facebook wameshea mjengo huo hapo pichani na magari yao na kisha kuandika ''kuonyesha mali unazomiliki na baraka alizokupatia mungu sio vibaya kwani hata kanisani tunatoa ushuhuda kwa yale mungu aliyotufanyia'' waliandika hivyo psquare.
Posted by Unknown
on Alhamisi, 1 Oktoba 2015,
Add Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 Response to "UTAJIRI WA PSQUARE NI KUFURU"
Chapisha Maoni