AY AWAAMBIA WASANII WAACHE UWOGA
Msanii wa miondoko ya hiphop hapa nchini na commercial amesema wasanii waache kuogopa kuuliza kwa watu waliotangulia au wanaojua muziki ni mbinu gani wanatumia kuupeleka mziki mbele 'unakuta mtu anaogopa kuuliza,au anajifanya anajua kuliko waliomtangulia waache uwoga waaulize kwa sababu muziki siku hizi ni biashara' amesema ay.
Posted by Unknown
on Jumanne, 6 Oktoba 2015,
Add Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 Response to "AY AWAAMBIA WASANII WAACHE UWOGA"
Chapisha Maoni