- je uliwahi kumfahamu mpenzi wazamani wa mwanasoka mario balloteli,huyu ndiye mpenzi wa zamani wa mwanasoka mario ballotel,anaitwa fanny,ni mpenzi wa zamani wa ballotell,na alimvisha pete ya uchumba ya thamani sana,kabla ya kuachana pasipo yeyote kuzungumzia suala hilo la kuachana,lakini hivi karibuni bibie fanny alifunguka kwenye media na kudai mario alimzuia asifanye kazi yake ya muziki na mitindo.
fanny alisema mario alitaka yeye akae nyumbani tu,aachanena kazi ya mitindo na muziki,hivyo kumnyima yeye uhuru wa kufanya anachokipenda,na alichukizwa na baadhi ya picha alizokuwa akipiga za mitindo.
mfahamu mpenzi wa zamani wa mwanasoka mario ballotel
Posted by Unknown
on Jumanne, 27 Januari 2015,
Add Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 Response to "mfahamu mpenzi wa zamani wa mwanasoka mario ballotel"
Chapisha Maoni