Kama unakipaji usijifiche chumbani kitoe kwa wadau,sanaa sikuhizi bongo ni ajira,soko la ajira linabana sana jiajiri mwenyewe kama wewe ni muigizaji,muimbaji,mcheza mpira,mchoraji,na sanaa nyinginezo onyesha kipaji chako,kuwa unachotaka.
KUWA UNACHOTAKA........ONYESHA KIPAJI CHAKO.
Posted by Unknown
on Ijumaa, 23 Januari 2015,
Add Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 Response to "KUWA UNACHOTAKA........ONYESHA KIPAJI CHAKO. "
Chapisha Maoni