timu ya Real Madrid Legends yaitwanga timu ya Tanzania magoli 3-1,magoli hayo matatu ya Madrid yalifungwa na Ruben na goli la Tanzania ilipigwa cross na shedrack Nsajigwa na beki wa madrid aliifungisha timu yake goli hilo.
Tizama hapa picha na matukio mbali mbali ya mchezo huo ulivyokuwa.
picha na yusuph Mbuguni.
REAL MADRID YAITWANGA TANZANIA.
Posted by Unknown
on Jumapili, 24 Agosti 2014,
Add Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 Response to "REAL MADRID YAITWANGA TANZANIA."
Chapisha Maoni