Mwanamuziki wa miondoko ya reggae nchini dabo ameingia kwenye kinyang"anyiro cha kuwania tuzo za kimataifa za raggae katika kipengele cha mtumbuizaji bora,tuzo hizo za kimataifa zinafahamika kama international Raggae and Music Awards(IRAWMA).
katika kuwania tuzo hizo dabo anaingia kwenye ushindani na MC Norman kutoka Uganda,Alkaline na kranium wa Jamaica na Shatta wale wa Ghana.
unaweza kumpigia kura mtandaoni pia kwa kupitia link hii hapa www.irawma.com
irawma vote 2014
Dabo Atajwa kuwania tuzo za reggae za Kimataifa 2014.
Posted by Unknown
on Jumatano, 27 Agosti 2014,
Add Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 Response to "Dabo Atajwa kuwania tuzo za reggae za Kimataifa 2014."
Chapisha Maoni