ZA UKWELI SANA

HARMONIZE AAMUA KUCHORA TATOO YA DIAMOND KAMA ISHARA YA SHUKRANI

Msanii chipukizi wa miondoko ya bongofleva nchini,kutoka katika lebol ya wcb inayomilikiwa na mkali diamond platnumz nasbu abduli,ameamua kuchora tatoo ya picha ya boss wake diamond kama ishara ya kumshukuru kwa kumsaidia kumtoa kimuziki,harmonize aliambatanisha picha na maelezo ya kumshukuru platnamz kupitia mtandao wake wa picha wa instagram,japo mashabiki wake wameonekana wengine wakibeza kwa kusema alipaswa achore tatoo ya wazazi wake na wengine wakimsifia kwa jambo hilo,harmonize ni msanii anayetamba na kibao chake cha aiyola,ambapo aliifanyia video ya wimbo wake nchini s.a harmonize ni msanii chipukizi lakini anaonekana kufanikiwa haraka kutokana na kuwa chini ya manejment ya diamondplatnamz


0 Response to "HARMONIZE AAMUA KUCHORA TATOO YA DIAMOND KAMA ISHARA YA SHUKRANI"

Chapisha Maoni