Kumekuwepo na sintofahamu nyingi kwa baadhi ya wazazi hapa nchini katika utekelezwaji wa agizo la mheshimiwa magufuli ikiwa ni moja kati ya ahadi zake wakati wa kampeni,mapema tu mwaka uliopita moja ya ahadi ambayo imeleta sintofahamu kwa baadhi ya wazazi hasa kwa kipindi hiki shule zinapokwenda kufunguliwa ni pamoja na ile ya elimu bure yaani pasipokuwa na malipo ya ada kwa shule za msingi na sekondari za serikali,suala hilo limeleta utata mkubwa kwa baadhi ya wazazi kwani wengine wamegoma kuwanunulia watoto wao hata mahitaji muhimu kama sare za shule madaftari na kalamu,huku wakidhani kwamba suala hilo ni la serikali ya raisi magufuli
ELIMU BURE YA MAGUFULI WAZAZI WAELIMISHWE
Posted by Unknown
on Alhamisi, 14 Januari 2016,
Add Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 Response to "ELIMU BURE YA MAGUFULI WAZAZI WAELIMISHWE"
Chapisha Maoni