MCHUNGAJI MTIKILA AFARIKI KATIKA AJALI
Mwanasiasa mkongwe nchini ambaye pia ni mwenyekiti wa chama cha DP mchungaji christopher Mtikila amefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea kijiji cha msolwa,huko mkoani pwani endelea kufuatilia mtandao huu tutakujuza zaidi chanzo cha ajali hiyo
Posted by Unknown
on Jumamosi, 3 Oktoba 2015,
Add Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 Response to "MCHUNGAJI MTIKILA AFARIKI KATIKA AJALI"
Chapisha Maoni