MADEE AMZAWADIA GARI DOGO JANJA
Msanii kutoka arusha anayesimamiwa kazi zake na madee ally,amezawadiwa zawadi yake jana kwenye siku yake ya kuzaliwa na boss wake madee anayemchukulia kama baba yake,katika sherehe yake ya kuzaliwa ambapo dogo janja alitimiza miaka 21,zawadi hiyo alikabidhiwa na rafiki wa karibu wa madee aitwaye dicksound1 mtaalamu wa kufunga miziki kwenye magari,dogo alionyesha furaha yake kwa kupokea zawadi hiyo na kumshukuru madee kupitia mtandao wa instagram,na kusema sasa tabu yake ya usafirri itakuwa imekwisha.
Posted by Unknown
on Jumatano, 16 Septemba 2015,
Add Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 Response to "MADEE AMZAWADIA GARI DOGO JANJA"
Chapisha Maoni