![]() |
Add captionDJ FETTY. |
kiukweli tuliishi kama family japo tulikuwa tunagombana lakini yanaisha,alisema fetty,ni wakati mgumu kwangu na kwa wote llakini inabidi maisha mengine yaendelee alisema fetty kwa huzuni sana.
funzo tunalopata hapa ni kwamba tukipata fursa ya kufanya kazi tufanye kwa bidii kama ilivyokuwa kwa fetty alithubutu na kuwa inspaya vijana wengi wa kike kuwa madj na watangazaji pia,kwani yeye ndiye alikuwa dj wa kwanza mwanamke,na ndiye dj pekee kutoka afrika mashariki kuitwa kupafomu big brother,na pia fetty ametufundisha kwamba mafanikio siyo kuwa na mali nyingi bali ni kusaidia watu kutimiza ndoto zao,na kutoa msaada kwa wasio na uwezo kama alivyofanya fetty,kuna wakati msanii ruby anasema alikwama kifedha fetty alimsaidia laki mbili,kitu ambacho kutoa hasa pesa ni vigumu kwa wakati huu,kila aliyemzungumzia fetty alimzungumzia Kwa mema,wafanyakazi wenzake walimsihi sana asiondoke,wasanii na hata wasikilizaji walisikitika sana kuonyesha mapenzi yao kwa fetty.
dj fetty ni mfano wa kuigwa na wengi tuwekeze katika watu hata tukifa leo tukumbukwe kwa mema tuliyoyaacha Sio kuwa na mali nyingi,fetty alikuwa ni mtu wa wawatu,funzo jingine ni kwamba tukipata ajira au vibarua tusijisahau tukumbuke na kuwekeza pia,fetty ameamua kuacha kazi na kufanya kazi zake mwenyewe kwenye kampuni yake inayoitwa fettylicious company,na duka lake la nguo liliopo dar free market.
0 Response to "HILI NDIO FUNZO ALILOLIACHA DJ FETTY KWA WATU."
Chapisha Maoni