HUYU NDIYE MTOTO WA DIAMOND PLATNUMZ
Kama ulikuwa hujawahi kumuona huyo ndiye mtoto wa kike na wa kwanza wa diamond platnumz aliyezaa na mpenzi wake mwanamama zarina hassani,ameamua kumwanika wazi kwenye mitandao ya kijamii baada ya kufikisha siku 40,anaitwa latifa nasibu,amepewa udhamini wa mavazi kwa muda wa mwaka mmoja,na super market ya pugu mall,wenye thamani ya milioni 50 mara alipozaliwa tu,na sasa pia amepata dili la kuitangaza nmb junior jumbo acount.
Posted by Unknown
on Jumatatu, 21 Septemba 2015,
Add Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 Response to "HUYU NDIYE MTOTO WA DIAMOND PLATNUMZ"
Chapisha Maoni