Tukio la kuanguka kwa mwanamuziki mkongwe madonna limezungumziwa zaidi,hii imetokea bahati mbaya wakati mwanamama huyo,akifanya show na dancers wake kwenye stage.
kuanguka hakukuathiri kitu kwenye show ya mama huyo,aliinuka na kuendelea kufanya show ,
yake,baadaye staa huyo mwenye umri wa miaka 56 aliandika ujumbe wa mashabiki wake instagram kuwa yupo poa,na ajali aliyoipata kwenye stage ilikuwa bahati mbaya.
0 Response to "TUKIO LILILOFANYA MADONNA AWE KWENYE HEADLINES ZAIDI USIKU WA TUZO ZA BRITS 2O15."
Chapisha Maoni