Kwa mujibu wa habari tulizozipata hivi punde,francis cheka amehukumiwa jela miaka3,amehukumiwa leo katika mahakama ya hakimu mkazi wa morogoro,kwa kosa la kumpiga meneja wake wa bar,pamoja na hukumu ya miaka 3 cheka ametakiwa kulipa faini ya shilingi milioni moja.
BREAKING NEWZ FRANCIS CHEKA AHUKUMIWA JELA MIAKA 3
Posted by Unknown
on Jumatatu, 2 Februari 2015,
Add Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 Response to "BREAKING NEWZ FRANCIS CHEKA AHUKUMIWA JELA MIAKA 3"
Chapisha Maoni