mh zitto kabwe akiwa mjengoni
HIZI NDO KAULI ZA MHESHIMIWA KABWE KUHUSU YEYE KURUDI CHADEMA
Mwanzoni mwa mwaka 2014,zitto kabwe alikuwa na mgogoro na chama chake,kupelekea yeye kwenda mahakamani kuzuia chama chake hichokuacha kujadili uanachama wake,lakini mwanzoni mwa mwa mwaka huu kumeibuka fununu kuhusu yeye kurudi kwenye chama chake,akijibu tuhuma hizo zito kabwe kwenye exclussive interview aliyofanya na millard ayo alisema,yeye hajawahi kutoka chadema ikumbukwe kwamba ana kesi mahakamani na mahakama bado haijatoa majibu kuhusiana na kesi yake bado kwahiyo yeye ni mwanachama wa chadema bado,na hajawahi kutoka chadema so ukisema amerudi unakuwa unakosea alisema zitto kabwe.
mh zitto kabwe akiwa mjengoni
mh zitto kabwe akiwa mjengoni
Posted by Unknown
on Jumanne, 20 Januari 2015,
Add Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 Response to "HIZI NDO KAULI ZA MHESHIMIWA KABWE KUHUSU YEYE KURUDI CHADEMA"
Chapisha Maoni