Vijana wawili wamechomwa moto katika eneo la tabata Liwiti wakituhumiwa kuiba pochi ya mwanamke katika eneo hilo,walioshuhudia tukio hilo walisema kuwa ilitokea asubuhi ya jana(jumamosi)ambapo walikuwa watatu wakafukuzwa na watu mbalimbali,Alisema walipokamatwa walipigwa na kisha kuchomwa moto.
Alisema mara nyingi wanapokamatwa na kupelekwa kwenye vituo vya polisi hutoka na kuendelea na uhalifu,na mara nyingi hufanya uhalifu kwa kutumia pikipi.
picha mbalimbali zikionyesha polisi wakichukua mabaki ya miili ya vijana hao na pikipiki iliyotumika kufanyia uhalifu.
Wawili wachomwa moto kwa tuhuma za uwizi huko tabata jijini Dar.
Posted by Unknown
on Jumapili, 24 Agosti 2014,
Add Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 Response to "Wawili wachomwa moto kwa tuhuma za uwizi huko tabata jijini Dar."
Chapisha Maoni