Elbert aliyekuwa na umri wa miaka 24,ndiye aliyefunga mabao mengi katika ligi ya msimu uliopita.
Alirushiwa kitu wakati mashabiki walipokerwa kwa timu yake Js Kabylie iliposhindwa kwa mabao 2-1 katika mechi iliyochezwa nyumbani Tizi Ozzu.
Elbert amekufa baada ya kupigwa kichwani wakati mashabiki waliokereka waliporusha mawe mwisho wa mechi ya ligi ya Algeria.
Mchezaji wa Cameroon amekufa baada ya kupigwa kichwani.
Posted by Unknown
on Jumapili, 24 Agosti 2014,
Add Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 Response to "Mchezaji wa Cameroon amekufa baada ya kupigwa kichwani."
Chapisha Maoni