Huyu anaitwa catalyn jenner , yeye ni baba mzazi wa mwanamitindo kimkarkadashian na ni mkwe wa mwanamuziki kanye west wa nchini marekani kwa muda mrefu alikuwa na ndoto za kubadilisha jinsia yake na kuwa mwanamke,na kwa sasa amefanikiwa ndoto zake na amekuwa kama anavyoonekana pichani,na amesema anajisikia furaha sana kuwa mwanamke kwani ni ndoto yake ya muda mrefu sana,lakini hivi majuzi amenukuliwa akisema yupo njia panda kwani anatamani kuwa na wanaume kimapenzi na pia anawatamani wanawake bado.
HILI NDIO DUME LILILO BADILISHA JINSIA NCHINI MAREKANI
Posted by Unknown
on Alhamisi, 8 Oktoba 2015,
Add Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 Response to "HILI NDIO DUME LILILO BADILISHA JINSIA NCHINI MAREKANI"
Chapisha Maoni