mara nyingi tumeshuhudia ugomvi kati ya wapenzi na sababu kubwa ikitajwa kuwa ni simu za mkononi hilo limethibika hivi majuzi ambapo imeonekana kwa nguli wa rap nchini marekani na mke wake beyonce wakiwa katika picha tofauti huku kila mmoja akiwa bize kufuatilia nini mpenzi wake anakifanya inshu kubwa pia iliyopo kwenye mitandao kwa sasa pia ni rummors juu ya ujauzito wa bi dada beyonce
abiria chunga mzigo wako sio bongo tu hata mamtoni pia ipo
jayz na beyonce kila mmoja macho kwa mwenzake
Posted by Unknown
on Ijumaa, 16 Januari 2015,
Add Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 Response to "jayz na beyonce kila mmoja macho kwa mwenzake"
Chapisha Maoni