Hawa ni wanafunzi wa shule ya Msingi Ally Hassani mwinyi iliyopo Magomeni,wamekutwa na camera ya jicho la harakati kitaa wakifanya mazoezi ya viungo ambapo wametubainishia kwamba mazoezi hayo ya viungo huwafanya wachangamke na kuepukana na magonjwa mbalimbali.
Wanafunzi wa shule ya msingi wafanya yao
Posted by Unknown
on Jumamosi, 6 Septemba 2014,
Add Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 Response to "Wanafunzi wa shule ya msingi wafanya yao"
Chapisha Maoni