kwa hisani ya Millard Ayo.
Ni siku chache tu zimepita tangu nitoke mwanza kwenye fiesta na mara zote nilizowahi kufika mwanza sikuwahi kufikiri kwamba siku moja yale mawe yanayozunguka jiji la mwanza au zile nyumba zilizojengwa kwenye mawe yangeweza kudondoka na kudhuru watu.
Tunawapa pole ndugu zetu wa Mabatini Sinai mtaa wa Nyerere A kwa kupoteza ndugu zao wa nne waliokufa kwenye ajali hiyo.
MAWE YAPOROMOKA NA KUUA MWANZA.
Posted by Unknown
on Alhamisi, 21 Agosti 2014,
Add Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 Response to "MAWE YAPOROMOKA NA KUUA MWANZA."
Chapisha Maoni