Mama mzazi,wa mwanamuziki Diamond platnumz ameripotiwa kuwa mgonjwa,na anakabiliwa na maradhi yanayokaribia kupooza mwili,kwa mujibu wa vyanzo vya udaku mama huyo anajiuguza na yupo nyumbani kwake huko Sinza MORI akijiuguza.
mwanamuziki diamond platnumz
mama wa Diamond platnumz akijisikilizia maumivu hospitalini.
mama mzazi wa mwanamuziki yu dhohofu Lihali.
Posted by Unknown
on Jumamosi, 24 Januari 2015,
Add Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 Response to "mama mzazi wa mwanamuziki yu dhohofu Lihali."
Chapisha Maoni